Curtains before & after........ Kijichi Mgeninani.....kazi ya Homez Deco.....

blogger templates


 Sitting room.........After...... sasa mteja wetu kabla ya kutengeneza pazia kwetu tulimshauri abadilishe rangi na apake, cream ama butterscotch, sasa kama ninavyosema jamani taratibu unaweza, mdau wetu huyu yeye alikubali kubadisha rangi, na akasema kua ataanza na mapazia, maana alikua na harusi, so angependa mapazia yawepo,  jana ndio tumefunga pazia na leo ndio harusi, tunakutakia kila la kheri..........(RANGI YA UKUTA ITABADILISHWA NYUMBA NI MPYA NDIO WAMEHAMIA, TUTAWALETEA HUMU HUMU)..
 Asikuambie mtu jamani, ukifanya kazi yako na ikapendeza na kutoka ontime, ni furaha ajabu... hii ndio team... mie hapo nilipumzika, kazi yangu ilikua kupiga picha.....haahaha.....
 ninachompendea fundi wangu yaani anafanya kazi na anaipenda kazi yake... hakuna kuchanganyana, kazi kwa kwenda mbele....
 fundi akiweka rail....
 kwa wale wenye curtain poles, pls mkitaka decoration ama swag, pls weka rail kama inavyoonekana hapa, na sio kuweka chuma tatu..... haipendezi.....

 Haya, kazi iko hapa, marinda yakitengenezwa... Phides alifanya kazi hiyo....jamani unajua bwana, hata kama ukiwa bosi katika biashara yako jitahidi uijue kazi yako, kwani itakusaidia sana na hautakua na stress hata chembe......good work Phides...
 ukiipenda kazi yako na ku meet dead line.. siku zote ni furaha tuuu Phides weee naona smile lako.....
 Vyote vinaenda kwa vipimo.... bila vipimo ni kazi bureeee
 Wakiweka decoration, kwa kiutalamu inaitwa swag..(huu ni urembo wa juu)


 Phides akimuelekeza fundi....
 Phides & Fundi wakisaidiana ku fix pazia......
 Dinning....
 hii ni kabla hatujaweka pazia.....

0 Response to "Curtains before & after........ Kijichi Mgeninani.....kazi ya Homez Deco....."

Posting Komentar