As u can see water used in our home

blogger templates
Sasa huu si uchafu jamani, usafi ni 5% tuuu, kwa nini tusipunguze kwenye kuoga, na kwenye ku flash vyooo?????

Mi inanikera sana jamani, na niko mbioni ninaandaa mkakati wa kuwafichua wachafu, nitawaletea mkakati huo ukiwa tayari, mkiupitisha nyie wadau wangu nitaanza, maana bila nyinyi mimi nisingekuwa hapa.

0 Response to "As u can see water used in our home"

Posting Komentar