Announcement

blogger templates
Nimepata msiba wa babu yangu mzaa baba, Hivyo sitokuwepo kwa muda wa siku tatu, kuanzia kesho j5 3/3/2010 ambayo ndiyo siku yangu ya kuzaliwa. Mazishi yako Mtwara-Masasi, so I have to travel.

Namshukuru Mungu kwa yote, na nataraji Jumatatu nitakuwa pamoja nanyi,

Stay blessed.

0 Response to "Announcement"

Posting Komentar