Chumba cha watoto....vitanda vina ukubwa wa 3 by 6....

blogger templates
 Tuliweka pazia, chumba chao kina madirisha 2....watoto ni wa kiume.....miaka yao ni wa kwanza ana 2 yrs. na wa pili ana miezi   3 sasa....
 Kitanda hiki ni cha mtoto wa miezi 3, tulimuewekea hizi chuma pembeni ili kuzuia asidondoke....
 vitanda vinavyoonekana kwa mbali......magodoro yatawekwa na yeye mteja, alikua hajanunua bado...
Pazia kwa mbali na vitanda.... chumba kilipendeza .....

nawatakia kila la kheri mteja wangu,,,,na familia yake....

0 Response to "Chumba cha watoto....vitanda vina ukubwa wa 3 by 6...."

Posting Komentar