ODA ZA MIKOANI.....

blogger templates
Wapendwa wadau wetu na wateja wetu......

Tunapenda kuwafahamisha kuwa oda za mikoani tunapokea na zinafanyika na zinatumwa kwenu mikoani....gharama ya kutuma ni kutokana na mkoa uliopo...nani juu ya mteja......

Tunapenda kuwakaribisha wote karibuni mtoe oda na zinafika bila wasi wasi.....

Asanteni na karibuni sana....

From
Sylvia Namoyo.
CEO

0 Response to "ODA ZA MIKOANI....."

Posting Komentar