Metal Furniture........Living room & Dinning....

blogger templates
 Hapa ni living room kukiwa tayari tumeshaweka makochi ya chuma kama inavyoonekana......kwa upande wa rangi ya nyumba, tayari ilishapakwa na wenyewe. sasa homez deco ilihusika na makochi, coffee table na dinning table......nyumba hii imepakwa rangi ya papaya na purple.....
 Hii ndio dinning table ya watu 6
 Niliwashauri waweke picha za ukutani...na wakakubali....hivyo wakiwa tayari nitawashauri jinsi ya kuweka.....kwenye swala la picha bado tuko nyuma....tunatundika picha juu sana ama chini sana....na hazilingai...picha zinatakiwa ziwe eye level...yaani usiinue macho kutazama picha.....



 Hapa ndio tulikua tukiingiza furniture ndani......
 Furniture za chuma hupendeza kwa kweli...na hufanya nyumba kua safi wakati wote...maana unaona mpaka chini ya uvungu kama ni kuchafu ama kusafi.....
 Nikiwa nimekaa kwenye kazi yangu......

Nawashukuru wateja wangu kwa kuridhika na kazi yangu......nawatakia kila la kheri......

1 Response to "Metal Furniture........Living room & Dinning...."