Sofa Repair.....

blogger templates
Kuna mdau alinitumia swali, kua kama anataka kubadilisha sofa kitambaa inawezekana?

Jibu ni kua, kwanza niione hiyo sofa, na pia inategemea na uchakavu wake. maana kuna zingine zimechakaa mpaka zile mbao za ndai zimevunji. sasa kwa sofa ya aina hiyo hua nina shauri ununue ingine...maana ukarabati wake utakua ni mkubwa, tena karibu sawa na kua sofa mpya....

Naomba ndugu wadau, muwe mnanitumia picha ya sofa zenu ili niweze kuziona kabla ya kutoa jibu....nitumie email sylvianamoyo@yahoo.com

Karibuni sana........

0 Response to "Sofa Repair....."

Posting Komentar