INTERNET PROBLEM

blogger templates

Hi all,  napenda kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa kuwa kimya muda wote huo, tulikua na problem ya internet na internet provider wangu alikuwa analishughulikia swala hilo, yaani lilikua nje ya uwezo wangu.

Sasa mtaendelea kupata mambo mazuri na ushauri kama ilivyo ada ya blog hii yetu.

Nawatakia siku njema.

0 Response to "INTERNET PROBLEM"

Posting Komentar