Senin, 25 Oktober 2010

Fundi wa jiko la gas anahitajika.... kwa yeyote anayemjua fundi mzuri tunaomba contacts zake tumsaidie mdau mwenzetu

Mdau mwenzetu Ndera, anaomba msaada wa  fundi wa jiko la gas. Anaomba wadau wanaofahamu wanipatie namba ya simu niwasiliane naye kupitia blog hii.

Asanteni

Tidak ada komentar:

Posting Komentar