Senin, 01 Maret 2010

Announcement

Nimepata msiba wa babu yangu mzaa baba, Hivyo sitokuwepo kwa muda wa siku tatu, kuanzia kesho j5 3/3/2010 ambayo ndiyo siku yangu ya kuzaliwa. Mazishi yako Mtwara-Masasi, so I have to travel.

Namshukuru Mungu kwa yote, na nataraji Jumatatu nitakuwa pamoja nanyi,

Stay blessed.

Tidak ada komentar:

Posting Komentar