Kamis, 27 Februari 2014

NEUTRAL UKUTANI NA COLORFUL KWENYE FANICHA NA MAPAMBO.......


Kuna njia moja rahisi sana kwa wale wapendao colorfull kwenye nyumba zao....iko hivi...unapopaka rangi ukutani ambayo ni colorfull halafu ukaja ku mix and match na fanicha na mapambo.....hua inakuja kukuchosha baada ya muda.....na mara nyingi ni kua tunapaka rangi zisizoendana.....

nimeshaona kwenye baadhi ya nyumba zetu utakuta mtu anaweka rangi zaidi ya tano.....na hii huja kumahinda...na kufanya nyumba kuonekana kituko.....jamani kutumia rangi zairi ya tatu.......pls pls......pata ushauri kutoka kwa interior designer.....atakushauri kwa gharamma nafuu ni kukubaliana tuu na nyumba kuonekana nzuri na kuvutia.....hiyo ndio kazi yetu kuumiza vichwa kila siku ili kupendezesha nyumba yako.

nimeweka baadhi ya picha hapa ili muone rangi zinavyokwenda kwa mpangilio....hata kama ni nyingi lakini zinashabihiana...sio moja inamzidi mwingine na kuwaka sana ......


Napenda kutoa picha ili tuweze kuelewana zaidi.....na ukitumia rangi za kuwaka ni lazima utumie na rangi zilizopoa ili kuipunguza makali ile kali.....na kwa ushauri wangu endapo gutaki kutumia designer kwa kudhani kua unakwepa gharama...ama utamfaidisha interior designer. .....basi naomba na ninakupigia magoti.... kua heza na rangi 3 tuuuuuu...na tena ziwe zinaendana sio kupishana....hii itakusaidia nyumba yako kuto onekana kituko na kuchekesha walionuna....sasa basi....paka ukuta wako rangi neutral. ..kama cream, beige, butterscotch,  etc....halafu hizo rangi 2 zilizobaki ndio cheza nazo kwenye fanicha na pazia na marembo.....na pia waweza irudia ile ya ukuta kwenye mapambo pia sio mbaya....
picha hizi 2....kuta ni neutral...then colors kaweka kwenye fanicha na mapambo....kiasi kwamba unaweza badilisha muda wowote wakati wowote mapambo na pazia...bila kuugusa ukuta ama kukuumiza kichwa kuubadilisha rangi.....


mfano picha hii ametumia rangi 3....kijani, pink, na nyeupe....na nyumba imependeza.......sasa ule ujuaji wa ma color combo tuuache kwenye nyumba zetu.....na kwa taarifa tuu color combo hua zinapendeza zaidi kwenye nyumba kubwa na zenye mwanga wa kutosha....ambapo kuna madirisha makubwa.....

Rabu, 19 Februari 2014

COLOR IDEAS FOR YOUR LIVING ROOM. .....


Inategemea na wewe mwenye nyumba unapenda color gani....kwa mimi mara nyingi humuuliza mteja maswali ambayo hunisaidia kuweza kujua mteja anapenda rangi gani...ama vitu gani...maana wengi wetu wanadhani kua ukumuita interior designer ndio tayari anafanya kila kitu bila kukushirikisha....hapana hua hatuendi hivyo......

Nashauri unapomuita desiger wako kwa ajili ya nyumba yako ama ofisi...jitahidi kutoa detailss zote za nini unapenda...nini hupendi..unataka kuweje ukiingia nyumbani kwako ama ofsini...yote haya yatamsaidia designer kukufanyia kazi yako....

Tu nachokosea ni kutokua wawazi ama kuogopa kuonekana hujui...jamani hakuna mtu kazaliwa anajua....ni kua elimu tumejifunza katika secta mbali mbali.....

Homez deco hua tuna discuss...na kuulizana maswali na kuongea ili kujua nini unataka...kumbuka nyumba hiyo unakaa wewe sasa inabidi ikuwakilishe wewe mwenye nyumba na kukupendezesha...



Design ziko nyingi....kuna traditional, contemporary,  etc......sasa unavyomuelezea interior designer. ..ye anajua ni design ipi aende nayo.....na ufurahie nyumba yako. Nitaelezea kila design inakuaje....ili iwe rahisi kwenu wateja kumuelezea designer..




Senin, 17 Februari 2014

MITO YA MAKOCHI........

 Napenda kumshukuru mteja wangu huyu wa tabata....kwa kutuletea kazi yake....nasisi kama homez deco tumeifanya kwa uangalifu mkubwa na umakini........unaweza kusema ni kazi ndogo....ni kweli kazi sio kubwa sana.....ingawa watu hudharau pale unapompa bei ya kazi yake jamani kila siku nasema kizuri ni rahisi....na kibaya ni gharama.......

 Ukiangalia mito hii iko saba...na tumeitengeneza sisi mito ya ndani na kushona forinya zake......ukiangalia foronya kila moja inafanana na mwenzie hakuna hata moja inayopishana pattern. ......nikiwa na maana hiyo mistari....na finnishing yake ni nzuri....
Sio kua homez deco tunajisifia haoana.....kazi zetu ndio sifa yetu.....na kazi zetu zote za kushona hua tunaweka lebo zetu ......nitawaonyesha lebo zetu.......na hii hutusaidia kututangazaa.....

Endelea kua nasi uone mito hii imeenda kukaa wapi....

METAL FURNITURES...AVAILABLE AT HOMEZ DECO BY ORDER......

 Meza na stools zake 2 bei ni tshs. 300, 000.
 meza peke yake ni tshs. 200, 000.

 kitanda 5 by 6 kikiwa na 4posters...chuma za net bei ni tshs. 550, 000.
 Kitanda bila 4posters...5 by 6 bei ni tshs. 500, 000.
 wine racks ya juu ni 110, 000. Naya chini ni 150, 000.

BEFORE AND AFTER LIVINGROOM ...........

 Homez deco tulipata kazi ya kubadilisha cusions za sofa...pamoja pillow ndogo za sofa kwa mteja wetu huyu.....alipenda silver kwa mito mikubwa na mito midogo iwe ni color combo....

 picha hii hapa juu ni kabla.....
Na picha hii hapa juu ni baada......baada ya kuweka mito tulimuomba aturushie picha......na akaturushia.....tunakushukuru sana mteja wetu kwa ushirikiano wako......

Selasa, 11 Februari 2014

TOPIC INAYOFUATA.....NI KUHUSU VYOO NA MABAFU YETU...



Topic hii ninamalizia kuiandaa.....na kuiweka kiufasaha...na iweze kueleweka....maana katika nyumba zetu kumekua na makosa flan flan ambayo yangeweza kuepukika.....ama kuzuilika....





INAPATIKANA HOMEZ DECO...BY ORDER....RANGI YOYOTE.....


kiti hiki kinaweza kukaa chumbani kama una chumba kikubwa ama chumba cha kuvalia viatu....ama korido....na hata sittingroom .....

kinapatikana kwa order....price ni 700, 000.....ila bri inategemea na ukubwa...yaweza kushuka ama kupanda...

Karibuni..

Our Valentine Kitchen

Raise your hand if you're ready for Spring!  Hopefully, March will be here before we know it and bring warmer temps along with it!

And, before Valentine's Day comes and goes, I wanted to share our little ol' red and white kitchen.


I decided to "retire" the Valentine tree on the island that I've decorated the past couple of years and opted for something a bit more simple this year by just hanging a few ornaments on faux floral branches:


Glass apothecary jars are my favorite place to "showcase" anything, including these "2 cool" plastic hearts (from Michael's):


Inexpensive Valentine cookie cutters provide a fun pop of color to an otherwise plain canister:


If there's one thing that isn't "faux," it's the candy, which my son has been more than happy to empty a couple of times!  That's why there's only ONE apothecary jar sharing real treats!



Since I'm NOT an avid baker, these cute cupcake liners are better off being showcased, rather than actually used!


The pretty red/white plates I recently scooped up from Home Goods have fit in perfectly with our red/white Valentine kitchen decor!


Our breakfast table got a little hint of Valentine with more faux tulips from Michael's ... pretty soon, I'll "pluck" the red and pink ones so that only the white ones are left for Spring, which I hope gets here soon!


But, until those warmer temps greet us, I'll be tackling lots of yucky organizing projects inside!


Stay warm and dry and thanks for stopping by!


post signature